+255 738 785 651
info@cmt.go.tz
Iwapo mtu atakataa kutekeleza maamuzi ya Baraza la Masoko ya Mitaji, Baraza lina uwezo wa kuchukua hatua za kisheria kuhakikisha kuwa maamuzi hayo yanatekelezwa ipasavyo, sawa na jinsi mahakama ya kawaida inavyofanya.